Saturday, August 12, 2017

BREKING NEWS WALES KARIA NA RICHARD WAMBURA WAMEIBUKA KIDEDEA TFF

Rais Mpya wa shirikisho la mpira TFF  Wales Karia  ameibuka kidedea  katika uchaguzi mkuu uliofanyika leo mkoani Dodoma amepata kura 95 na kuwashinda wagombea wezanke watano Iman Madega, Fredrick Mwakalebela,Ally Mayay, Shija Richard, na Emmanuel Kimbe  awali nafasi hiyo ya Urais alikuwa anakaimu  wakatin Rais aliepita kuwa na matatizo  na Nafasi ya Umakamu wa Rais  imechukuliwa na Richard Wambura  blog ya mzuka inawapongeza wote waliofanya vizuri katika uchaguzi na u=kuchaguliwa tunataka soka hatutaki kuhesabu pasi
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu