Home
»Unlabelled
» KAMATI ZA BUNGE DODOMA
KAMATI ZA BUNGE DODOMA
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya
Viwanda, Biashara na Mazingira wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo ambapo leo
walikuwa wakijadili ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kuhusu
utekelezaji wa majukumu ya Shirikisho la wenye Viwanda Nchini (CTI).Kikao hicho
kimefanyika katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.
|
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya
Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mheshimiwa Sadiq Murad akikisitiza
jambo katika kikao cha Kamati hiyo ambapo leo walikuwa wakijadili ya Wizara ya
Viwanda, Biashara na Uwekezaji kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Shirikisho la
wenye Viwanda Nchini (CTI).Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Bunge Mjini
Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
|
|
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya
Tiba ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamed Janabi akijibu hoja za wajumbe wa Kamati ya
Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC)wakati Kamati ilipokutana na Taasisi hiyo kwa ajili ya kujadili na kuchambua Taarifa ya
Msajili wa Hazina kuhusu uwekezaji na utendaji wa Taasisi hiyo.kulia ni
Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya JKCI, Profesa William Mahalu. Kikao hicho
kimefanyika leo katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma. |
0 comments:
Post a Comment