Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na Waziri Ofisi
ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani S.
Jafo na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce L.
Ndalichako Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 17, 2018. Mhe. Rais
amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za
msingi na sekondari na amewaagiza mawaziri hao kusimamia hilo. Taarifa
kamili inakuja
Picha na IKULU
0 comments:
Post a Comment