Home
»Unlabelled
» SERIKALI YATOA HATI ZA KIMILA
SERIKALI YATOA HATI ZA KIMILA
|
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais - UTUMISHI na Utawala Bora, Kapteni (Mstaafu) Mhe. George H. Mkuchika (Mb)
akizungumza na wananchi wa kijiji cha Lunguya wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati ya Kudumu
ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa yenye lengo la kukagua maendeleo ya
miradi inayotekelezwa na Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
|
Baadhi
ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa wakipunga mikono kuwasalimu wananchi wa kijiji
cha Lunguya wilayani Kahama wakati wa
ziara ya kikazi ya kamati hiyo yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi.
|
Mratibu
wa MKURABITA Bi. Seraphia Mgembe (katikati ya umati) akizungumza
na wananchi wa kijiji cha Lunguya
wakati wa ziara ya kikazi ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali
za Mitaa yenye lengo la kukagua maendeleo ya mradi ya MKURABITA.
|
|
Baadhi
ya Wananchi wa kijiji cha
Lunguya wilayani Kahama wakimsikiliza
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa Mhe.
Jason Rweikiza (Mb) wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo yenye lengo la
kukagua maendeleo ya miradi.
|
|
Mmoja
wa wanufaika wa Hati ya Hakimiliki ya Kimila wilayani Kahama akitoa shukrani
kwa Serikali kwa kitendo cha kutoa Hati za Hakimiliki za Kimila 275 kwa
wananchi wa vijiji vya Lunguya na Segese.A |
0 comments:
Post a Comment