Wednesday, April 11, 2018

WAKAZI WA ULONGONI B JIJINI DAR ES SALAAM HAWANA USAFIRI BAADA YA DARAJA KUBOMOKA KWA MVUA


 Daraja linalounganisha kati ya Gongolamboto na Ulongoni lililoharibika kw3a kusombwa na maji katika mto Msimbazi 
 hili ndo daraja lililoharibika
 Daraja la mbao limetengenezwa kwa muda ili wakazi hao wapate kupita
 Wakazi wakipita kwenye daraja la muda daraja hilo ni wapita kwa miguu hakuna pikipiki wala kibajaji hata gari haipiti

 Waendesha bodaboda wakisubiri abiria  wanaotoka ulongoni kwenda gongo la mboto
 Bodaboda wakisubiri  abiria huku wasafiri wakiwa katika foleni ya kupita

HIVI NDIO HALI HALISI YA DARAJA LILILOBOMOKA  AMBALO  NI KIUNGO MUHIMU KATIKA YA GONGO LA MBOTO NA KARIAKOO NA KURUDI KATIKA SHUGHULI ZA KILA SIKU 

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu