Home »Unlabelled » Familia zilizo makini hutumia vipaji walivyonavyo pindi makali ya maisha Yyanapowakwaza. Pichani wanandoa Bwana Said Omar akimyoa mtoto mdogo kwa Shilingi mia Tano, wakati huohuo mkewe (kushoto), akimsuka mteja wake kwa malipo ya Shilingi elfu moja kujiongezea kipato kama walivyokutwa na mpiga Picha wetu Barabara ya Mwanza mjini Tabora hivi karibuni
Wednesday, January 25, 2012
Familia zilizo makini hutumia vipaji walivyonavyo pindi makali ya maisha Yyanapowakwaza. Pichani wanandoa Bwana Said Omar akimyoa mtoto mdogo kwa Shilingi mia Tano, wakati huohuo mkewe (kushoto), akimsuka mteja wake kwa malipo ya Shilingi elfu moja kujiongezea kipato kama walivyokutwa na mpiga Picha wetu Barabara ya Mwanza mjini Tabora hivi karibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment