Wednesday, November 28, 2012

Breking newzzzz Mke wa mbunge wa Wawi Hamad Rashid amefariki dunia

-raha za pwani 8 hours ago
Taarifa zilizoifikia blog hii usiku huuzinaeleza kuwa Mke wa Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed pichani, Bi Kissa, amefariki dunia usiku huu kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa. Taarifa zaidi tutaendelea kuwaletea kwa kadri zitakavyo tufikia.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu