Picha mbili za marehemu Sharo Millionea kushoto ni baada ya ajali na
kulia enzi za uhai wake mungu aiweke peponi roho ya marehemu aaaaaamin!
Msanii wa vichekesho na Muziki wa kizazi kipya nchini Hussein Ramadhani
Mkiete, almaarufu Sharo Millionea, ambaye alifariki jana usiku majira ya
saa mbili anatarajiwa kuzikwa kwao Mkoani Tanga mara baada ya taratibu za
mazishi kukamilika.
Ajali hiyo mbaya ilitokea eneo la Maguzoni Tanga baada ya gari alilokuwa
akiendesha T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza
kuacha njia na kupinduka na alifariki dunia hapohapo ambapo pol... more »
Home »Unlabelled » BREKINGNEWZZ MSANII SHARO MILLIONEA! AMFARIKI DUNI BAADA YA KUPATA AJALI
Tuesday, November 27, 2012
BREKINGNEWZZ MSANII SHARO MILLIONEA! AMFARIKI DUNI BAADA YA KUPATA AJALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment