Gari la mizigo aina ya Nissan lenye namba za usajili T 761 BRN likiwa
limegongana uso kwa uso na gari la kubeba mchanga aina ya Fuso lenye namba
za usajili T 390 CBM (lililopo kwenye mtaro) katika barabara ya Morogoro
karibu na kituo cha Mabasi cha Kibaha Mjini mkoani Pwani leo asubuhi
jumatano Nov 28, 2012. Katika ajali hiyo hakuna abiria aliyefariki wala
majeruhi.
0 comments:
Post a Comment