Nahodha wa
Rwanda, Haruna Niyonzima (katikati) akidhibitiwa na wachezaji wa Malawi, katika
mchezo wa Kundi C, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker
Challenge 2012 uliofanyika kwenye Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda
usiku huu. Rwanda ilishinda 2-0, mabao ya Jean Baptiste Mugiraneza dakika ya 37
na Haruna Niyonzima dakika ya 79
Home »Unlabelled » RWANDA YAIFUNGA MALAWI BAO 2-0 LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment