Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha kadi za chama kipya cha ADC zilizorejeshwa na baadhi ya wanachama wa chama hicho na kujiunga na CUF katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama hicho uliofanyika katika viwanja vya Tangamano Jijini Tanga. katibu mkuu wa chama hicho yuko mkoani Tanga kwa ziara ya siku mbili katika kuhamasisha uhai wa chama hicho
Home »Unlabelled » KATIBU MKUU WA CUF AKIWA MKOANI TANGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment