Saturday, December 29, 2012

KATIBU MKUU WA CUF AKIWA MKOANI TANGA

Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha kadi za chama kipya cha ADC zilizorejeshwa na baadhi ya wanachama  wa chama hicho na kujiunga na CUF katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na chama hicho uliofanyika katika viwanja vya Tangamano Jijini Tanga. katibu mkuu wa chama hicho yuko mkoani Tanga kwa ziara ya siku mbili katika kuhamasisha uhai wa chama hicho
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu