Kocha mpya wa klabu ya Simba Wekundu wa msimba hatmae amewasili jijini Dar es salaam leo kocha anafahamika kwa jina la Patrick Lieweig akitokea nchini Ufaransa amewasili muda wa saa 7,58 katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalim Nyerere uliopo barabara ya pugu amelakiwa na katibu mkuu wa simba mtawala pamoja viongozi wengine pamoja na mashabiki wachache waliofika kwenye uwanja huo leo kocha huyo kwa mujibu wa katibu mkuu amesmea tarehe 1 januari 2013 atasaini mkata na klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi mara baada ya kuwasili kocha huyo aliongea na wandishi wa habari waliofika kwenye uwanja huo na kupata nasaha zake
Kocha mpya wa klabu ya Simba Patrick Liweig kutoka nchini Ufaransa mara baada akifuatana mmoja wa kiongozi wa simba wakielekea kqwenye gari tayari kuelekea hotelini leo
Kocha mpya wa klabu ya Simba Patrick Liweig kutoka nchini Ufaransa mara baada akifuatana mmoja wa kiongozi wa simba wakielekea kqwenye gari tayari kuelekea hotelini leo
0 comments:
Post a Comment