Monday, December 31, 2012

KOCHA MPYA WA SIMBA AWASILI LEO

 Kocha mpya wa klabu ya Simba Wekundu wa msimba hatmae amewasili jijini Dar es salaam leo kocha anafahamika kwa jina la Patrick Lieweig akitokea nchini Ufaransa amewasili muda wa saa 7,58 katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalim Nyerere uliopo barabara ya pugu amelakiwa na katibu mkuu wa simba mtawala pamoja viongozi wengine pamoja na mashabiki wachache waliofika kwenye uwanja huo leo kocha huyo kwa mujibu wa katibu mkuu amesmea tarehe 1 januari 2013 atasaini mkata na klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi mara baada ya kuwasili kocha huyo aliongea na wandishi wa habari waliofika kwenye uwanja huo na kupata nasaha zake




Kocha mpya wa klabu ya Simba Patrick Liweig  kutoka nchini Ufaransa mara baada akifuatana mmoja wa kiongozi wa simba wakielekea kqwenye gari tayari kuelekea hotelini leo
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu