Friday, December 28, 2012

SHAHIDI ANGUKA MAHAKAMNI LEO ASUBUHI



Shahidi wa kesi ya unyanganyi kutumia silaha Richard Edward Waziri mkaazi wa Tandale kwa Tumbo jijini Dar es salaam kushoto mwa picha akiteremsha kutoka katika chumba ch mahakama mkazi ya Kisutu leo baada ya kuanguka wakati aliposimamishwa ili kutoa ushahidi wake  ndipo alipoanza kuuguwa ghafla akitetemeka  mbele ya hakimu na watu waliokuwepo kumdaka na utoaji ushaidi kuahirishwa shahidi huyo alipata nafuu baada ya kuletewa chai na wahudumu wa kantini iliyopo mahakamani kisutu  alipokunywa akapata nafuu na kumpeka katika hospitali ya mnazimmoja leo picha akisindikizwa na jamaa yake
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu