Shahidi wa kesi ya unyanganyi kutumia silaha Richard Edward Waziri mkaazi wa Tandale kwa Tumbo jijini Dar es salaam kushoto mwa picha akiteremsha kutoka katika chumba ch mahakama mkazi ya Kisutu leo baada ya kuanguka wakati aliposimamishwa ili kutoa ushahidi wake ndipo alipoanza kuuguwa ghafla akitetemeka mbele ya hakimu na watu waliokuwepo kumdaka na utoaji ushaidi kuahirishwa shahidi huyo alipata nafuu baada ya kuletewa chai na wahudumu wa kantini iliyopo mahakamani kisutu alipokunywa akapata nafuu na kumpeka katika hospitali ya mnazimmoja leo picha akisindikizwa na jamaa yake
Home »Unlabelled » SHAHIDI ANGUKA MAHAKAMNI LEO ASUBUHI
Friday, December 28, 2012
SHAHIDI ANGUKA MAHAKAMNI LEO ASUBUHI
Shahidi wa kesi ya unyanganyi kutumia silaha Richard Edward Waziri mkaazi wa Tandale kwa Tumbo jijini Dar es salaam kushoto mwa picha akiteremsha kutoka katika chumba ch mahakama mkazi ya Kisutu leo baada ya kuanguka wakati aliposimamishwa ili kutoa ushahidi wake ndipo alipoanza kuuguwa ghafla akitetemeka mbele ya hakimu na watu waliokuwepo kumdaka na utoaji ushaidi kuahirishwa shahidi huyo alipata nafuu baada ya kuletewa chai na wahudumu wa kantini iliyopo mahakamani kisutu alipokunywa akapata nafuu na kumpeka katika hospitali ya mnazimmoja leo picha akisindikizwa na jamaa yake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment