Thursday, December 27, 2012

WANANCHI WA MTWARA WAMEANDAMANA KUPINGA GESI ISIPELEKWE NJE YA MKOA HUO LEO



  Wananchi wa mkoa wa Mtwara walifanya maandamano makubwa leo kupinga Gesi inayozalishwa mkoani mwao isipelekwe nje ya mkoa huo maandamano hayo yaliyokuwa ya amani wakipita katika mitaa mbalimbali wananchi hao ambao wanalani kwa gesi yao kupelekwa Dar es salaam na mikoa mingine wanadai kwanza waanze kupewa wao katika mkoa wao halafu ndipo ipelekwe nje ya mkoa maandaamano yalijumuisha vyama vya siasa vyote kasoro chama Tawala tu hakikushiriki maandamano hayo walitaka yapokelewe na mkuu wa mkoa lakini mkuu huyo alichomoa 

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu