mshambulioaji watimu ya yanga george Banda akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Tusker kutoka nchini kenya wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kqwenye uwanja wa taifa katika mchezo huo timu yaYanga imefungwa bao moja kwa bila
Beki watimu ya Tusker Chikokoti akikjaribukumzukia |
0 comments:
Post a Comment