Wednesday, December 26, 2012

YANGA YAPIGWA MWELEKA NA TUSKAER 1 -0

mshambulioaji watimu ya yanga george Banda akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Tusker kutoka nchini kenya wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kqwenye uwanja wa taifa  katika mchezo huo timu yaYanga imefungwa bao moja kwa bila
Beki watimu ya Tusker Chikokoti akikjaribukumzukia
bahanuzi akipambana bekiwa tusker
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu