Sunday, January 27, 2013

BREMKING NEWZZZ LOWASA APATA AJALI ATT MACOMRADE MH LOWASSA AMEPATA AJALI LKN YUKO SALAMA NAWAPA HIZO TIPS KIDOGO, ZAIDI NIPIGIENI 0655685085

PICHA ZA GARI LA MZEE LILILOPATA AJALI. DEREVA ANAITWA YANGA ANASTAHILI SIFA ZA PEKEE KWA KWELI ALIFANYA KAZI KUBWA KUMKWEPESHA MZEE NA AJALI MBAYA KABISA

ATT MACOMRADE MH LOWASSA AMEPATA AJALI LKN YUKO SALAMA NAWAPA HIZO TIPS KIDOGO, ZAIDI NIPIGIENI  0655685085

waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli edward lowassa amenusurika kifo, baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kupata ajali eneo la bwawani mkoani morogoro.
Gari hilo la mh lowassa liligongwa na basi la morobest, wakati basi hilo lilipolipita basi jingine kwenye daraja na kukutana uso kwa uso na gari la mh.Lakini dereva wa mzee kwa ustadi mkubwa alilikwepesha gari lisigonge upande alipokuwa amekaa  mzee na kuligonga ubavuni nyuma kwa upande wa dereva. hakuna aliyejeruhiwa.Lowassa na msafara wake aliendelea na safafrti hadi morogoro ambako ameshiriki katika harambee ya ujenzi wa kanisa la kkkt kilakala.

akizungumzia ajali hiyo, lowassa amesema mkono wa mungu ni mkubwa, bila ya hivyo  simulizi zingekuwa nyingine juu yake.pia alisema kuwa wakati alipoliona basi likiwa linakuja upande wake kuwagonga, ukamjia wimbo mmoja wa dini unaonesema kuwa ''hivi haya yote ya nini, ni huruma tu''.


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu