Sunday, January 27, 2013

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akifurahi na mitoto Ali Saidi



 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akimfurahia mtoto Ali Saidi mwenye umri wa miezi minane, ambaye ni mtoto wa  mmoja wa abiria aliowakuta kwenye  Stesheni ya Kigoma, msafara wa Kinana ulipowasili leo kwa treni.Kinana na ujumbe wake wamesafiri kwa treni hadi Kigoma kwa ajili ya sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 36 ya CCM zitakazofanyika Februari 3, 2013 mjini Kigoma.






 Abiria wakiwa katika behewa la daraja la watatu, wakitoka Tabora kwenda Kigoma leo
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu