Thursday, January 31, 2013

KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO

Mbunge wa kuteuliwa, Jamsi Mbatia, akitumia moja ya vitabu kadhaa vya ziada na kiada, bungeni mjini Dodoma, alivyoleta kama kielelezo cha hoja yake binafsi ya udhaifu ulioko kwenye sekta ya elimu nchini. Kushoto ni mbunge wa Mhambwe, Felix Mkosamali.
Mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Kulia) na mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lisu, wote kutoka CHADEMA, wakimlalamikia spika wa bunge Anne Makinda, wakati akiongoza kikao cha bunge jana mjini Dodoma ambapo mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia, alitoa hoja binafsi kuhusu udhaifun ulioko katika sekta ya elimu nchini
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu