Wednesday, January 30, 2013

mbunge godbles lema wakikumbatiana na Wasira bungeni leo

 Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema (Kushoto), akikumbatiana na waziri wan chi ofisi ya rais, Steven Wasira, alipowasili jana kwen ye bunge mjini Dodoma kwa mara ya kwanza baada ya kukaa nje kufuatia ubunge wake kutenguliwa na mahakama ya mjinin Arusha, kabla ya mahakama kuu ya Tanzania kutengua uamuzi huo wa mahakama ya chini mwishoni mwa mwaka

Kiongozi wa upinzani bungeni ambaye pia ni mbunge wa Hai, mkoani Kilimanjaro, Freeman Mbowe (Kushoto), akiteta jambo na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema, bungeni mjini Dodoma jana. . Lema ameanza rasmi shughuli zake za kibunge jana, baada ya kukaa nje muda mrefu, kufuatia uamuzi wa mahakama ya mkoani Arusha kutengua ushindi wake, kabla ya mahakama kuu ya Tanzania, kutengua uamuzi wa mahakama hiyo ya chini mwishoni mwa mwaka jana, na kumrejeshea ubunge wake
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu