Tuesday, January 29, 2013

picha za matukio ya Kigoma na ccm

  Dk. Asha Rose Migiro akishangiliwa na mkazi wa Nguruka, Asha Kipenda wakati wa mapokezi ya msafara wa Kinana na ujumbe wake.jpg7. Dk. Asha Rose Migiro akishangiliwa na mkazi wa Nguruka, Asha Kipenda wakati wa mapokezi ya msafara wa Kinana na ujumbe wake.jpg


 Juma Kilabuka na Hasani Kankwi wa mjini mdogo wa Nguruka wakifurahia msafara wa Kinana ulipofika katika mji huo.huku wakiwa na mifugo yao yambuzi wakimpa dole katibu mkuu kinana kufika katika mji wao
Badhi ya wakazi wa mji mdogo Nguruka Wilayani Uvinza  wakifuatili kwa makini mkutano ulikuwa unahutubiwa na katibu mkuu wa ccm Abdulrahamani kinana 


 . Kinamama katika mji mdogo wa Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wakipokea kwa shangwe msafara wa Kinana na ujumbe wake ulipowasili kwa ajili ya mkutano wa hadhara


 Meneja mradi wa ujenzi daraja la Malagarasi wa Kampuni ya Korea ya Hanil, Jung Sik You, (wapili kushoto) akiwatembeza Kinana (watatu kushoto), Migiro (wanne) na Nape (wapili kushoto) .jpg1. Meneja mradi wa ujenzi daraja la Malagarasi wa Kampuni ya Korea ya Hanil, Jung Sik You, (wapili kushoto) akiwatembeza Kinana (watatu kushoto), Migiro (wanne) na Nape (wapili kushoto) .jpg
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu