Home
»Unlabelled
» AJALI YA GHOROFA LILILOANGUKA IDADI NI 20 WALIOKUFA
AJALI YA GHOROFA LILILOANGUKA IDADI NI 20 WALIOKUFA
|
Baadhi ya ndugu mbalimbali waliofika katika hospitali ya Taifa Muhimbili na kutambua miili ya ndugu zao wengi waliofika chumba cha kuhifadhia maiti na kutambua ndugu hao walioangukiawa na ghorofa ajali iliyotikea jana picha ndugu wakichukua mwili wa ndugu yao leo0 akwenye hospitali hiyo jumla ya maiti zilipatikana ni 20 mpaka saa nane maiti zilizotambuliwa ni 8 ambao waasia ni 3 na wengine ni 5 wafanyakazi wa chumba cha maiti pamoja na ndugu wanaofika wanashindwa kuwatambua ndugu zao kutokana na miili yao kuharibika sana wengine baadhi ya viungo vimekatika huwezi kuviona wakatoa mifano kichwa mikono na viungo vingine wafanyakazi hao hawakutaka kutaja majina yao tutaendelea kuwajulisha |
0 comments:
Post a Comment