Katika ukoaji unaondelea kwenye jengo lililoanguka jana jumla ya maiti nane 8 zimepatikana kwa mujibu ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick huku juhudi zinaendelea na kuongezea nguvu na vifaa mbalimbali vilivyongezwa tutaendelea kukufahamisheni kadri inapotokea usikose
Home »Unlabelled » BREKING NEWZZZZZZZZZZZ
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment