HATIMAYE LEMA AACHIWA NJE KWA DHAMANA ASEMA POPOTE MKUU WA MKOA ATAKAPO ONEKANA AZOMEWE
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akiwa na
mbunge wa Arumeru Mashariki katika msafara mara baada ya mmbunge wa Arusha
mjini aliyefikishwa mahakamani leo kwa kosa la kusababisha fujo na kumkashifu
mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa mulongo kuachiwa huru kwa dhamana
0 comments:
Post a Comment