Sunday, April 28, 2013

KOMBE LA SAFARI LAGER

  - Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza,Mh. Baraka Konisaga akipokea Kombe la Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager kutoka kwa Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo ikiwa ni kutoa Baraka zake kwa Kombe hilo kuwepo jijini Mwanza,katika hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo.



 Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza,Mh. Baraka Konisaga akinyanyua Juu Kombe la Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager wakati wa kutoa baraka zake kwa ziara ya Kombe hilo jijini Mwanza.

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu