Tuesday, April 30, 2013

MATUKIO TA MVUA


Polisi wa usalama barabarani akimueleza dereva wa daladala kuhusu uendeshaji mbaya wa kutanua pembeni mwa barabara eneo la makumbushoa barabara ya Ali hassan Mwinyi leo 

MVUA ZINAZOENDELEA HIVI SASA ZIMESABABISHA BARABARA KUJAA MAJI KAMA INAVYONYESHA LEO 


Mamam huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa anatoa maji kati nyumba yake eneo la mwananyamala kwa kopa leo kutokana na mvua 

jiji la Dar es salaam limenogeshwa kwa mambo mbalimbali mzunguko wa makutano ya barabara ya msimbazi na uhuru picha kubwa ngalawa na mchoro wa bahari 
 Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es salaam wakisubiriana kupita katika mawe yaliyowekwa kutokana na dimbwi la maji ili wapate kudanda kama picha hii inavyonyesha leo kariakoo dsm
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu