Polisi wa usalama barabarani akimueleza dereva wa daladala kuhusu uendeshaji mbaya wa kutanua pembeni mwa barabara eneo la makumbushoa barabara ya Ali hassan Mwinyi leo
MVUA ZINAZOENDELEA HIVI SASA ZIMESABABISHA BARABARA KUJAA MAJI KAMA INAVYONYESHA LEO
Mamam huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa anatoa maji kati nyumba yake eneo la mwananyamala kwa kopa leo kutokana na mvua
jiji la Dar es salaam limenogeshwa kwa mambo mbalimbali mzunguko wa makutano ya barabara ya msimbazi na uhuru picha kubwa ngalawa na mchoro wa bahari
Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es salaam wakisubiriana kupita katika mawe yaliyowekwa kutokana na dimbwi la maji ili wapate kudanda kama picha hii inavyonyesha leo kariakoo dsm
0 comments:
Post a Comment