Monday, April 29, 2013

MBUNGE WA JIMBO LA ARUSHA MJINI GODBLESS LEMA ACHIWA KWA DHAMANA LEO


Wafuasi wa chama cha Maendeleo na Demokrasia Chadema wakiwa katika msafara mkubwa wakinsindikiza mbunge wa jimbo la Arusha mjini  Godbless Lema akiwa
na mbunge wa jimbu la Arumeru mashariki wakiwa juu ya gari wakitokea mahakamani  mara
baada ya kuachiwa huru kwa dhamana  baada ya kukamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi
 kwa muda wa siku tatu kwa madai ya kuchochea wanafunzi wa chuo kufanya ghasia
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu