Wafuasi wa chama cha Maendeleo na Demokrasia Chadema wakiwa katika msafara mkubwa wakinsindikiza mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akiwa
na mbunge wa jimbu la Arumeru mashariki wakiwa juu ya gari wakitokea mahakamani mara
baada ya kuachiwa huru kwa dhamana baada ya kukamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi
kwa muda wa siku tatu kwa madai ya kuchochea wanafunzi wa chuo kufanya ghasia
0 comments:
Post a Comment