Saturday, April 27, 2013

WASHIRIKI WA MISS MANISPAA YA ILEMELA WATEMBELDEA KIWANDA CHA COCA-COLA JIJINI MWANZA


 Washiriki wa Shindano la Miss wa Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza 2013, wakifurahia jambo na mwandaaji wa shindano hilo, Restuta Mushi (aliyechuchumaa), wakiwa katika kiwanda cha Coca Cola jijini Mwanza, (Picha na Sitta Tumma).
Washiriki wa Shindano la Miss wa Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza 2013, wakiwa katika pozi la pamoja muda mfupi baada ya kuzuru kwenye kiwanda cha Coca Cola jijini Mwanza, juzi
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu