Saturday, April 27, 2013

YANGA SC WAANZA MCHAKATO WA KULIPA 5-0 ZA MNYAMA, WAINGIA GYM LA KISASA QUALITY CENTRE KUTANUA VIFUA

Wachezaji wa Yanga SCwakiwa mazoezini kwenye gym ya Quality Centre, Dar es Salaam asubuhi ya leo kujiandaa na mechi mbili zilizobaki za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.  Yanga tayari wamejihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu na sasa wanacheza kukamilisha ratiba, wakiwa wamepania kushinda mechi zote na zaidi kulipa kisasi cha kufungwa 5-0 na wapinzani wao wa jadi, Simba SC Mei 18, baada ya kucheza na Coastal Union Mei 1, mwaka huu. 

Kevin Yondan...

Haruna Niyonzima na Hamisi Kiiza...

Oscar Joshua...

Kevin Yondan...

Said Bahanuzi na Mbuyu Twite...

Meneja Hafidh Saleh
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu