Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akikagua gwaride
lililoandaliwa rasmi kwenye hafla ya kuwavisha nishani Maofisa, wakaguzi
na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki. Hafla hiyo
ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam.leo
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha cha Polisi Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ali Lugendo wakirudi jukwaa kuu baada ya IGP kukagua gwaride lililoandaliwa rasmi kwenye hafla ya kuwavisha nishani Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki. Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam.leo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akimvisha nishani ya utumishi uliotukuka Tanzania, Afisa Mnadhimu idara ya Upelelezi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Brown Lekey kwenye hafla ya kuwavisha nishani Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki. Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam. leo
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema(kushoto) na Mkuu wa Chuo cha cha Polisi Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ali Lugendo wakirudi jukwaa kuu baada ya IGP kukagua gwaride lililoandaliwa rasmi kwenye hafla ya kuwavisha nishani Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki. Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam.leo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akimvisha nishani ya utumishi uliotukuka Tanzania, Afisa Mnadhimu idara ya Upelelezi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP), Brown Lekey kwenye hafla ya kuwavisha nishani Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki. Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam. leo
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akimvisha nishani ya utumishi
uliotukuka Tanzania, Mkuu wa Kitengo cha maadili, Kamishna Msaidizi wa
Polisi (ACP), Patrick Byatao kwenye hafla ya kuwavisha nishani Maofisa,
wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki. Hafla hiyo
ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Hassan Mndeme-Jeshi la
Polisi.
0 comments:
Post a Comment