Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua tofali
kwenye ujenzi wa zahanati ya Samaria, Kata ya Makoga Wilaya ya
Wangong;'ombe alipopita eneo hilo, akiwa katika ziara ya kukagua
utekelezaji wa ilani ya CCM, na kukagua
na kuimarisha uhai wa Chama mkoani Njombe.leo
0 comments:
Post a Comment