Askari wa Jeshi la wananchi wakiwa katika viwanja vya mnazimmoja wakiwa kati gwaride la kuadhimisha siku ya Amani Duniani iliyoadhimishwa leo
Baadhi ya mabalozi na wanajeshi na wafanyakazi wa UN hapa nchini wakiwa katika maadhimisho ya siku hiyo
Wanajeshi pamoja na Mabalozimbalimbali waliofika katika siku ya maadhimisho ya siku ya Amani iliyoadhimishwa kwenye viwanja vya mnazimmoja leo
Mwakilishi mratibu mkaazi wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania Richard Ragan akisoma taarifa ya umoja wa mataifa wakati wa maadhimisho ya siku ya amani iliyofanyika leo
Mwanafunzi wa chuo cha kodi Zainabu Abdallah pia yuko katika shirika la habari la UN akistoa hotuba yake wakati wa maadhimisho hayo leo
Waziri wa Mambo ya Ndani Dr Emmanuel Nchimbi akisalimiana na wanajeshi waliokwenda nchi za Dafuu , Ivory coast .Sudani ,DRC Congo wakati wa maadhimisho ya siku ya Amani dunianileo
Mwakilishi wa mratibu mkaazi wa UN Richard Raga akisalimiana na wanajeshi walikuwa katika nchi mbalimbali kulinada amani wakati wa maadhimsho ya siku ya amani duniani
Waziri wa wa Mambo ya ndani Dr Emmanuel Nchimbi akisalimiana kikosi cha askari wa kuzuia ghasia waliokwenda katika nchi mbalimbali kulinda amani katika maadhimisho ya siku ya Amani duniani leo
Waziri wa mambo ya ndani akikagua kikosi cha polisi wa kike waliokuwa dafuu na kadhalika kulinda amani wakati maadhimisho yaliyofanyika leo
Mwakilishi Mratibu mkaazi kutoka UN hapa nchini akisalimiana na polisi wa kike waliokuwa katika kulinda amani katika mbalimbali
Baadhi ya mabalozi na wanajeshi na wafanyakazi wa UN hapa nchini wakiwa katika maadhimisho ya siku hiyo
Wanajeshi pamoja na Mabalozimbalimbali waliofika katika siku ya maadhimisho ya siku ya Amani iliyoadhimishwa kwenye viwanja vya mnazimmoja leo
Mwakilishi mratibu mkaazi wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania Richard Ragan akisoma taarifa ya umoja wa mataifa wakati wa maadhimisho ya siku ya amani iliyofanyika leo
Mwanafunzi wa chuo cha kodi Zainabu Abdallah pia yuko katika shirika la habari la UN akistoa hotuba yake wakati wa maadhimisho hayo leo
Waziri wa Mambo ya Ndani Dr Emmanuel Nchimbi akisalimiana na wanajeshi waliokwenda nchi za Dafuu , Ivory coast .Sudani ,DRC Congo wakati wa maadhimisho ya siku ya Amani dunianileo
Mwakilishi wa mratibu mkaazi wa UN Richard Raga akisalimiana na wanajeshi walikuwa katika nchi mbalimbali kulinada amani wakati wa maadhimsho ya siku ya amani duniani
Waziri wa wa Mambo ya ndani Dr Emmanuel Nchimbi akisalimiana kikosi cha askari wa kuzuia ghasia waliokwenda katika nchi mbalimbali kulinda amani katika maadhimisho ya siku ya Amani duniani leo
Waziri wa mambo ya ndani akikagua kikosi cha polisi wa kike waliokuwa dafuu na kadhalika kulinda amani wakati maadhimisho yaliyofanyika leo
Mwakilishi Mratibu mkaazi kutoka UN hapa nchini akisalimiana na polisi wa kike waliokuwa katika kulinda amani katika mbalimbali
0 comments:
Post a Comment