Baadhi ya akina mama wamakundi ya wajane na watoto walio katika mazingira hatarishi wakimsikiliza naibu waziri wa sheria na katiba Angela kairuki wakati wa uchangiaji wa rasim ya katiba ya jamhuri ya Tanzania wakati wa mabaraza ya katiba ya kata
Naibu waziri wa sheria na katiba Angela Kairuki akifungua mkutano wa akina mama wajane na watua walioathirika na maradhi mkoani dodoma mkutano huo ulifanyika kanisa la rutharani Arusha ya ukimwi mkutano huo uliafinywa kwa kupitia rasimu ya katiba ya jamhuri mpya na kutoa mapendekezo yao
baadhi ya akina mama wakipiga kupiga makofi na kufurahia kupekewa rasim
naibu waziri wa sheria na katiba akiagana na wansema wa hapa mkoani dodoma
0 comments:
Post a Comment