MAGAIDI WAWILI WAMEUAWA KATIKA MAPAMBANO NA VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA KENYA TUKIO HILO WATU 69 NA ZAIDI YA WATU
179 WAMEJERUHIWABADO MAPAMBANO YAKIENDELEA
Waziri
wa Mambo ya Ndani wa Kenya huku akiwa ameambatana na Mkuu wa Majeshi ya
Kenya pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi, David Kimayu Olerenku katika
mkutano wao na waandishi wa habari wamesema kuwa magaidi wawili wameua
katika mashambulizi na vikosi vya Majeshi ya Ulinzia na Usalama pamoja
na kudhibiti ghorofa zote katika jengo la Westgate.
0 comments:
Post a Comment