ibar
Picha za tukio la kumwagiwa Tindi kali, Padri Anselmo Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mpendae Jimbo la Zanzibar akiwa katika hospitali ya mnazimmoja mjini zanzibar mara baada ya kumwagiwa inayodhaniwa tindi kali wakati akitoka kwenye internate caffe wakati akiongea na simu eneo la mlandege mjini Zanzibar majira ya saa 10 jioni. padri huyo amepelekwa jiji dar salaam kwa matibabu zaidi
Picha za tukio la kumwagiwa Tindi kali, Padri Anselmo Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mpendae Jimbo la Zanzibar akiwa katika hospitali ya mnazimmoja mjini zanzibar mara baada ya kumwagiwa inayodhaniwa tindi kali wakati akitoka kwenye internate caffe wakati akiongea na simu eneo la mlandege mjini Zanzibar majira ya saa 10 jioni. padri huyo amepelekwa jiji dar salaam kwa matibabu zaidi
0 comments:
Post a Comment