Raia wa Malawi
wakijiandikisha katika Idara ya Uhamiaji, Mkoa wa Dar es Salaam leo kuhusu
zoezi linaloendelea la kuwatambua wahamiaji haramu jijini Dar es Salaam. (Picha
zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
KITENGO
CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA
YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
wakiwa katika foleni ya kujiandisha leo kwenye ofisi za uhamiaji jijini Dar es salaam
zoezi la utambuaji ya wahamiaji haramu wakiwa katika ofisi ya uhamiaji leo jijini Dar es salaam
0 comments:
Post a Comment