Home
»Unlabelled
» CHADEMA YAPATA PIGO.
CHADEMA YAPATA PIGO.
|
KATIBU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
CHAMA cha Demokrasia na maendeleo
CHADEMA mkoani Shinaynga kimepata pigo kubwa baada ya madiwani wake
wawili katika manispaa ya Shinyanga kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao
kutokana na madai kuwa viongozi ngazi ya taifa wa chama hicho
kundekeza majungu,migogoro ,kudhalilisha baadhi ya viongozi pamoja na
kuwapa majina ya wasaliti wa chama.
Madiwani waliofikia maamuzi hayo
magumu ni diwani wa Kata ya Ngokolo Sebastian Peter maarufu OBAMA WA
NGOKOLO na Zacharia Mfuko wa kata ya Masekelo ambao wamesema wameamua
kufikia maamuzi hayo magumu kama ishara ya kuwajibika kwa niaba ya
makosa yaliyofanywa na viongozi wa |
0 comments:
Post a Comment