Sunday, March 23, 2014

kikosi cha Coast Union
 Timu ya Coast Union marufu wagosi wa kaya watakuwa ugenini katika uwanja wa Taifa kucheza na wenyeji wao Simba Sports kati pambano la ligi kuu la vodacom katika kuwani poit tatu muhim kwa kila timu pambano hilo ambalo ni muhim kwa timu zote mbili  
Simba sports

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu