Saturday, March 29, 2014

majambazi wavamia na kupora fedha

watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wmevamia duka moja la  vipodozi mtaa wa jangwani na mkunguni eneo la kariakoo jijini dar essalaam na kupora kiasi kikubwa cha fedha na baadae kujeruhi watu 4 kwa risasi na kufanikiwa kutoroka eneo la tukio kwa kutumia pikipiki tukio hilo limetokea majira ya mchana leo radio one stereo 
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu