watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wmevamia duka moja la vipodozi mtaa wa jangwani na mkunguni eneo la kariakoo jijini dar essalaam na kupora kiasi kikubwa cha fedha na baadae kujeruhi watu 4 kwa risasi na kufanikiwa kutoroka eneo la tukio kwa kutumia pikipiki tukio hilo limetokea majira ya mchana leo radio one stereo
Home »Unlabelled » majambazi wavamia na kupora fedha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment