Home
»Unlabelled
» PMO- PINDA AKABIDHI TUZO YA MAWNAMKE BOR 2014
PMO- PINDA AKABIDHI TUZO YA MAWNAMKE BOR 2014
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika hafla ya kutoa tuzo ya
Global Publishers iliyotolewa kwa mwanamke bora nchini mjini Dodoma
Machi 29, 2014. Wengine pichani kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Global
Publishers, Eric Shigogo, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Lephy Gembe na
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Pindi Chana.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mku |
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka
2014 ya Global Publishers, Profesa Anna Tibaijuka mjini Dodoma machi
29, 2014. Katikati ni Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa
Tuzo ya Mwanamke Bora wa Mwaka 2014 ya Global Publishers baada ya
kuwatunuku tuzo zao mjini Dodoma Machi 29, 2014. Kutoka kushoto ni Anna
Abdallah ambaye alipokea kwaniaba ya Dr. Asha Rose Migiro, Anne
Kilango, Maria Kham na Profesa Anna Tibaijuka. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu |
0 comments:
Post a Comment