WANANGWASUMA WAZEE WA MUJINI WALIVYOIPAGAWISHA DODOMA MWISHONI MWA WIKI
Mwanamuziki maarufu wa bendi ya
FM. Academia Wanangwasuma Clastobella, akiwaonyesha kipaji chake
wananchi waliojitokeza katika onyesho la bendi hiyo lililofanyika katika
ukumbi wa kilimani mwishoni mwa wiki chini ya udhamini wa Profesa Maji
Marefu.
Mpiga gitaa la solo naye akiwapagawisha wapenzi wa bendi hiyo waliofulika ukumbini hapo
Mpiga gitaa la bess, naye akiwajibika
Wanamuziki hao wakionyesha umahili wao wa kucheza ngwasuma
Mpiga ngoma naye akionyesha manjonjo yake
Wacheza shoo machachali hawakuwa nyuma kuonyesha manjonjo yao
RAIS wa bendi hiyo Nyoshi El Sadati ak Sauti ya simba, akiwatambulisha wanamuziki wa bendi hiyo kwa mashabiki waliojazana katika ukumbi wa kilimani
Nyoshi Kulia akiwaongoza waamuziki wake kuimba
Wakilishambulia jukwaa
Nyoshi akiteta na mdhamini wao Profesa Maji Marefu na Kulia ni Mbunge wa Kahama Mjini James Lembeli, akiwatambulisha wabunge wenzake waliohudhulia onyesho hilo
Profesa Maji Marefu, akiwaita kwenye jukwaa wabunge waliohudhulia onyesho hilo
Wabunge waliohudhulia onyesho hilo
Mgeni rasmi wa onyesho hilo Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Juma Nkhamia, akozungumza na mashabiki waliohudhulia
Akiimba wimbo wa Pepekale jukwaani hapo unaojulikana kwa jina la Mamii
Mbunge Sugu naye hakuwa nyuma anazungumza na mashabiki kulia ni Mbunge Wenje
Sugu na maji marefu jukwaani
Maji marefu na Wenje
Sugu na Nyoshi
Mashabuiki wakijimwaga kulicheza Ngwasuma
Wacheza Shoo wa bendi hiyo wenye kupepelusha viuno kama feni wakiwajibika jukwaani
Mgeni rasmi na wabunge wakishuhudia shoo kabambe
Mas wakicheza muzikihabi walivyojaa ukumbini
Profesa Maji marefu na rafiki yake wakipiga picha ya ukumbusho
Mpiga gitaa la solo naye akiwapagawisha wapenzi wa bendi hiyo waliofulika ukumbini hapo
Mpiga gitaa la bess, naye akiwajibika
Wanamuziki hao wakionyesha umahili wao wa kucheza ngwasuma
Mpiga ngoma naye akionyesha manjonjo yake
Wacheza shoo machachali hawakuwa nyuma kuonyesha manjonjo yao
RAIS wa bendi hiyo Nyoshi El Sadati ak Sauti ya simba, akiwatambulisha wanamuziki wa bendi hiyo kwa mashabiki waliojazana katika ukumbi wa kilimani
Nyoshi Kulia akiwaongoza waamuziki wake kuimba
Wakilishambulia jukwaa
Nyoshi akiteta na mdhamini wao Profesa Maji Marefu na Kulia ni Mbunge wa Kahama Mjini James Lembeli, akiwatambulisha wabunge wenzake waliohudhulia onyesho hilo
Profesa Maji Marefu, akiwaita kwenye jukwaa wabunge waliohudhulia onyesho hilo
Wabunge waliohudhulia onyesho hilo
Mgeni rasmi wa onyesho hilo Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Juma Nkhamia, akozungumza na mashabiki waliohudhulia
naibu waziri wa habari michezo Juma nkamia akitoa nasaha zake |
Akiimba wimbo wa Pepekale jukwaani hapo unaojulikana kwa jina la Mamii
Mbunge Sugu naye hakuwa nyuma anazungumza na mashabiki kulia ni Mbunge Wenje
Sugu na maji marefu jukwaani
Maji marefu na Wenje
Sugu na Nyoshi
Mashabuiki wakijimwaga kulicheza Ngwasuma
Wacheza Shoo wa bendi hiyo wenye kupepelusha viuno kama feni wakiwajibika jukwaani
Mgeni rasmi na wabunge wakishuhudia shoo kabambe
Mas wakicheza muzikihabi walivyojaa ukumbini
Profesa Maji marefu na rafiki yake wakipiga picha ya ukumbusho
Nice blog you have here
ReplyDeleteVisit http://www.menaveron.blogspot.com
For latest gist's on entertainment blogs