Friday, March 28, 2014


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa kwenye viwanja vya Nyerere mjini Dodoma  Machi 28, 2014.Wengine pichani ni Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Stephen Wasira a Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu)

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu