Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa
wa Mara, John Tupa kwenye viwanja vya Nyerere mjini Dodoma Machi 28,
2014.Wengine pichani ni Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa, Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais, Stephen Wasira a Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu, William Lukuvi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment