waziri wa mambo ya nje benard membe akiwa na wabunge wa chadema mchungaji msigwa na ezekiel wenje nje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma kuhudhuria kikao cha bunge la bajeti |
wasanii wa bongomovi wakiwa katika ukumbi wa bunge mjini kuhudhuria shughuli zauendeshaji |
naibu wazir wa Elimu na ufundistad wa pili kushoto jenista muhagama akiwa na wabunge wa chadema kwenye ukumbi wa bunge leo |
Baadhi ya wabunge wakitoka katika ukumbi wa bunge walipokuwa wanahudhuriakikao cha bunge leo |
mbunge wa nkasi Ali kessy akiondoka huku mbunge wa cuf Hamis kombo akifuata kwa nyuma tayari kwa kupambana naye |
mbunge wa chadema paulina Gikulu akichangia bajeti ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa |
waziri wa mambo ya nje Benard Membe akimsikiliza balozi wa kongo Juma Mpango nje ya ukumbi wa bunge |
wabunge wa chadema pamoja na waziri wa mambo ya nje na ushhirikiano wa kimataifa BenardMembe wakimsikiliza Add balozi wa kongohapa nchini Juma Mpango nje ya viwanja vya bunge |
wabunge wa chadema pamajo na balozi wa kongo hapa nchini Juma mpango wakimsikiliza waziri wa mabo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Benard Membenje ya ukumbi wa bunge mjini dodoma leo |
0 comments:
Post a Comment