Saturday, May 31, 2014

wapinzani wasusia na kuigomea bjeti ya wizara ya nishati na madini kutoka nje ya bunge

  1. wabunge wa upinzani katika bunge linaloendelea mjini dodoma wakitokanje ya ukumbi wa bunge kwa madai ya kutoshiriki katika upitishaji wa bajeti ya wizara ya nishati na madinikwa madai ya kwamba bajeti hiyo imejaa mambo ambayo si ya kweli huku wakidai tafrani hiyo ilitokea baada ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kupewa nafasi ya kuchangia bajeti hiyo ya wizara ya nishati na madini baada yakutoelewana wakati akichangia huku zikijichomoza sauti za makelele huku wakidai na kusema waongo na kama hamtaki tokeni kionozi wa upinzani kutoakauli yake kwamba hatuko tayari kukubali kupitishwa bajeti hiyo tutatoka nje na kuzomeana hao








Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu