watu wapatao 17 wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la moro best na lorikugongana uso kwa uso katika eneo la panda mbili mkoani dodoma leo basi hjilo la moro best lilikuwa lkinatoka mpwapwa na kuelekea Dar es salaam baadhi ya washuhuda ya ajali hiyo wanaseema lori hilo lilikuwa katika mwendo kasi wakati akilipita basi hilo madereva wa magari yote wamefariki papohapo pamoja na iutingo
|
Basi la Morobest lenye na namba za usajili T 258
AHV lilipopata jali ya kugongana uso kwa uso na Lori na kuua Watu 17 katika eneo la Pandambili
Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma ,Basi liliokuwa likitoka Mpwapwa kwenda
Dar es salaam |
|
Basi la Morobest lenye na namba za usajili T 258
AHV lilipopata jali ya kugongana uso kwa uso na Lori na kuua Watu 17 katika eneo la Pandambili
Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma ,Basi liliokuwa likitoka Mpwapwa kwenda
Dar es salaam
|
|
Lori lenye namba za usajili T 820 CKU na tela yenye namba za
usajili T
390 CKT liliokuwa likiendeshwa na Dereva wake Gilbart Lemanya na Tingo
wake Mikidadi Zubery Omary ambao wote walifariki papo hapo
linavyoonekana baada ya kugongana uso kwa uso na basi la Morobest
katika eneo la Pandambili Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma na
|
0 comments:
Post a Comment