Saturday, July 26, 2014

RAIS JAKAYA KIKWETE AHUDHURIA MAHAFALI YA KOZI YA PILI YA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI TAASISI MALUUM UTOAJI MAFUNZO YA USALAMA WA KITAIFA NA KIMATAIFA

Profesa ibrahim lipumba akisalimiana na mkuu wa majeshi ya ulinzi  David Mwamunyange wakati wa mahafali ya pili ya chuo cha jeshi  NDC

MKUU WA JESHI LA POLISI  MANGU AKIWA NA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MECK SADIK

RAIS JAKAYA KIKWETE AKIONGEA NA WAKUU WA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA

RAIS JAKAYA KIKWETE AKISALIMIANA NA ERNEST WAMBA DIA WAMBA

RAIS JAKAYA KIKWETE AKIFURAHIA JAMBO PAMOJA NA DR BANA NA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA
WAHITIMUWA JESHI




RAIS JAKAYA KIKWETE AKIWA NA WAHITIMU WA MAHAFALI

RAIS AKIWA NA WATU MBALIMBALI

WAHITIMU WA CHUO CHA JESHI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA

RAIS JAKAY KIKWETE AKIELEKEA KATIKA JUKWAA

RAIS AKIONGEA NA BAADHI YA MABALOZI

RAIS JAKAYA KIKWETE AKIAGANA WAKUU WA JESHI LA ULINZI

RAIS JAKAY KIKWETE AKIELEKEA KATIKA JUKWAA 

BAADHI YA WANAJESHI WAHITIMU KATIKA CHUO CHA JESHI WAKATI WA MAHAFALI YA PILI YA CHUO HICHO

BAADHI YA WANAJESHI WAHITIMU KATIKA CHUO CHA JESHI WAKATI WA MAHAFALI YA PILI YA CHUO HICHO 

RAIS JAKAYA KIKWETE AKIWAAGA WAHITIMU WANAJESHI WA CHUO CHA JESHI LEO

RAIS JAKAYA KIKWETE AKIFURAHI KITUPAMOJA NA WAGENI MBALIMBALI

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu