watuhumiwa wa IMTU wakitoka katika mahakama ya kinondoni kuelekea kupanda difenda kuelekea polisi ambao wanadaiwa kutupa viungo vya binadam na kutovifukia vilivyokutwa katika machimbo ya kunduchi |
watuhumiwa wa IMTU wakipanda gari la polisi baada ya kesi yao inayodaiwa kutupa viungo vya binadamu bila kufukia katika machimbo ya kunduchikesi |
watuhumiwa wakisindikizwa na poli katika mahakama ya kinondoni kesi ya inayowakabili ya kutofukia miili ya binadamu iliyotupwa katika machimbo ya kunduchihivi karibuni |
0 comments:
Post a Comment