Home
»Unlabelled
» RAIS KIKWETE AWEKA AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI
RAIS KIKWETE AWEKA AFUNGUA KITUO CHA AFYA KIBAONI
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria kufungua kituo cha Afya cha Kibaoni Morogoro vijijini
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Mama Salma Kikwete pamoja na Wabunge
Mhe Abdul Mketeme (kushoto) na Mhe Getrude Rwakatale (kulia) wakifunua
pazia kwa pamoja kuashiria kufungua kituo cha Afya cha Kibaoni Morogoro
vijijini |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea akikagua wodi mpya ya kituo cha Afya cha Kibaoni Morogoro vijijini |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembezwa maeneo mbali mbali ya kituo cha
Afya cha Kibaoni Morogoro vijijini baada ya kukifungua |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wazazi baada ya kufungua kituo cha Afya cha Kibaoni Morogoro vijijini
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa kituo cha Afya cha Kibaoni
Morogoro vijijini Agosti 22, 2014
PICHA NA IKULU
|
0 comments:
Post a Comment