Wednesday, October 29, 2014

BREKING NEWZZZZZZZZ WATU 9 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO LE JIONI

Watu 9 wamefariki dunia na wengine 2 wamejeruhiwa baada ya basi dogo la abiria Toyota Hiace kugongana uso kwa uso na lori la mafuta katika eneo la makumira wilayani Arumeru kwa mujibu wa kamanda wa polisi Arusha libaratus Sabas ametibitisha na kusema imetokea mida ya saa kumi leo lori hilo namba ya usajili T582 ACR likitokea mkoani kilimanjari na kwenda Arusha majeruhi wamepelekwa katika hospitali iliyokaribu ya Tengeru  na waliofariki miili yao imehifadhiwa katika hospitali  ya Mount Meru  RADIO ONE STEREIO  TUTAWALETEA HABARI ZAIDI KATIKA MZUKA WA FUNGO


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu