Home
»Unlabelled
» MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA WASANII KWENYE MADHIMISHO YA SIKU YA MSANII
MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA WASANII KWENYE MADHIMISHO YA SIKU YA MSANII
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye
maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika
ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam
|
|
Wasanii
wa ngoma kutoka Ukerewe wakitoa burudani kwenye maadhimisho hayo |
|
Msanii wa tasnia ya taarab Isha
Mashauzi na kikundi chake nao walikuwepo kwenye maadhimisho ya siku ya msanii
Mlimani City.
|
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tunzo
Josephat Kanuti msanii aliyejitolea maisha yake katika tasnia ya sanaa Nchini,
kwenye
maadhimisho ya siku ya Msanii
yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini
Dar es salaam
|
|
Wasanii wa kikundi cha sarakasi nao
walionesha umahiri wao kwenye usiku wa maadhimisho hayo.
|
|
Wasanii wa kikundi cha sarakasi nao
walionesha umahiri wao kwenye usiku wa maadhimisho hayo.
|
|
Msanii Daimond na kikosi chake
wakifanya vitu vyao kwenye maadhimisho hayo.
|
|
Wasanii na wananchi mbalimbali waliohudhuria
kwenye maadhimisho hayo wakifuatilia kwa karibu matukio mbalimbali yaliyokuwa
yakifanyika kwenye ukumbi huo. (Picha na OMR)
|
|
Msanii Daimond na kikosi chake
wakifanya vitu vyao kwenye maadhimisho hayo.
|
0 comments:
Post a Comment