Monday, October 27, 2014

MAKAMU WA RAIS AHUTUBIA WASANII KWENYE MADHIMISHO YA SIKU YA MSANII

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam

 


Wasanii wa ngoma kutoka Ukerewe wakitoa burudani kwenye maadhimisho hayo

Msanii wa tasnia ya taarab Isha Mashauzi na kikundi chake nao walikuwepo kwenye maadhimisho ya siku ya msanii Mlimani City.
 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi tunzo Josephat Kanuti msanii aliyejitolea maisha yake katika tasnia ya sanaa Nchini,   kwenye
maadhimisho ya siku ya Msanii yaliyofanyika jana usiku Octoba 25-2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam

 



Wasanii wa kikundi cha sarakasi nao walionesha umahiri wao kwenye usiku wa maadhimisho hayo.

 

Wasanii wa kikundi cha sarakasi nao walionesha umahiri wao kwenye usiku wa maadhimisho hayo.

 

Msanii Daimond na kikosi chake wakifanya vitu vyao kwenye maadhimisho hayo.
 

Wasanii na wananchi mbalimbali waliohudhuria kwenye maadhimisho hayo wakifuatilia kwa karibu matukio mbalimbali yaliyokuwa yakifanyika kwenye ukumbi huo. (Picha na OMR)
 

Msanii Daimond na kikosi chake wakifanya vitu vyao kwenye maadhimisho hayo.
 

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
MZUKA BLOG © Copyright 2014. All Rights Reserved.

Powered by MATERU FROM IBS.
imagem-logoRudi Juu