*MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MBANJA NA RASIBURA HUKO LINDI MJINI
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama cha Mapinduzi anayewakilisha
Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akiongea na vijana na wananchi mara baada
ya kuzindua rasmi shina la wakereketwa Zahanati Kempu lililoko katika
Kata ya Rasibura
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM anayewakilisha Lindi Mjini Mama
Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa Tawi la CCM la Mbanja. Mama
Salma alitembelea tawi hilo jana kwa ajili ya kukagua kazi ya
utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi.
Baadhi
ya wajumbe wa Tawi la Chama Cha Mapinduzi Mabano katika Kata ya Mbanja
wakifurahia hotuba ya Mjumbe wa NEC Taifa wa Lindi Mjini Mama Salma
Kikwete wakati alipotembelea Tawi hilo.
Katibu
wa Shina la Wakereketwa Zahanati Kempu Ndugu Hidaya Chivi Ali
akikabidhi risala ya wanachama wa Shina hilo kwa Mjumbe wa NEC Taifa na
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Mke
wa Rais na Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Mama Salma
Kikwete akisoma maelezo yaliyoko kwenye jiwe la msingi la shina la
wakereketwa Zahanati Kempu mara baada ya kuzindua rasmi shina hilo.
KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
0 comments:
Post a Comment